Saturday, October 24, 2015

Young dee athibitisha Kununua gari Lake La kwanza

Msanii wa Rap Tanzania Young Daresalama athibitisha kununua mkoko wake wa kwanza kwa pesa yake binafsi siku chache zilizopita..

Akizungumza kwenye kipindi cha XXL

Dee alisema

“Jinsi unavyopata maumivu makubwa kila mtu mwisho wake anayapokea tofauti, wengine wanajinyonga, wengine wanakata tamaa, wengine waanzisha maisha mapya,” aliiambia XXL ya Clouds FM.@

“Jana first time kupitia muziki, jana ndio nimejinunulia gari. Nyandu shahidi na nikamwambia Nyandu hii gari ninaiweka parking tu, nimeipaki.”