Mwanadada huyo ambae ni hit maker wa No one na nyingine nyingi ikiwemo aliyomshirikisha Nicki minaj Pianoman ameonesha kuvutiwa na nyimbo za wizkid baada ya yeye na mume wake kupost video kibao insta wakicheza nyimbo za wizkid na kumtag.
Juzi tulisikia Wizkid alialikwa kuperform Kwenye tamasha la alicia keys na sasa Wizkid alisema pia wataingia studio kufanya collabo.
Wizkid aliyaongea haya kwenye interview akiwa tanzania Eatv na Sam missago.


