Monday, November 16, 2015

Ndege ya Ufaransa Yahairisha Safari baada ya mtu asiejulikana kutishia kuilipua


Ndege ya ufaransa iliishia safari zake amsterdama baada ya kushitushwa na mtu aliepost kwenye mtandao wa kijamii kuilipua ndege hiyo.

kijana huyo aliekuwa na jina la Johnjihad alipost maneno kadhaa ya kiukatili na yanayoonyeshwa mashambulizi ya ufaransa yataendelea.

Abiria wote wa ndege ya namba AF1741 walishushwa na kuhairisha kwa safari hiyo