Mtangazaji na msanii wa cclouds xxl adam mchomvu ambae pia anajulikana kama baba joni ameachia nyimbo yake nyingine aliyoifanyia tongwe records ambayo kama kawaida yake ina mahadhi ya Rap-katuni.
Tafadhali isikilize kisha utoe maoni Download hapa
Hall for Bongo music and news on trend