Ikiwa ni siku moja tu toka Muheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania afute sherehe ambayo ilipangwa kufanywa baada ya wabunge kuapishwa na pesa hizo kutumika kununua vitanda katika hospitali ya Muhimbili ambayo inakabiliwa na tatizo sugu la ukosefu wa vitanda. leo kazi imeanza imeanza na vidanda tayari vimefika Muhimbili.
Picha: Vitanda vya wagonjwa vyatua Muhimbili kama ilivyoagizwa na Raisi Magufuli
Ikiwa ni siku moja tu toka Muheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania afute sherehe ambayo ilipangwa kufanywa baada ya wabunge kuapishwa na pesa hizo kutumika kununua vitanda katika hospitali ya Muhimbili ambayo inakabiliwa na tatizo sugu la ukosefu wa vitanda. leo kazi imeanza imeanza na vidanda tayari vimefika Muhimbili.


