Monday, October 26, 2015

Diamond ashinda tuzo ya ‘Worldwide Act Africa/India’ ya MTV EMA

Diamond Platnumz maarufu kama Chibu Dangote/Mondi Bin Matuzo amepeperusha bendera za tanzania kwa mara nyingine baada ya kushinda tuzo ya worldwide act ya mtv ema


Diamond ambaye pia amechukua kipengele cha african act kutoka tuzo hizohizo alikuwa akichuana na Mwanadada kutoka India Priyanka Chopra ambaye aliwahi kuwa Miss world 2000

Diamond amepeperusha bendera ya tanzania  kwa upana pamoja na east africa kwakuwa tuzo hii kubwa haikuwahi kuja east africa hata siku moja.

Uongozi wa bongo mixed unamtakia kila la kheri Diamond Platnumz kwenye safari yake ya kuipeperusha bendera ya tanzania.