Saturday, October 31, 2015

Picha: Angalia Eneo la Kifahari ambalo iyanya atafanya birthday yake leo

Mkali wa kukere kutoka nigeria Iyanya ambaye pia alishawahi kufanya Bum bum na Diamond Platnumz anatarajiwa kusherehekea birthday yake leo katika jengo la kifahari nchini Nigeria

Mkali huyo ambaye kwa sasa anfurahia matunda ya kazi yake ngumu aliyofanya mwaka huu amedai kuiita birthday yake ya leo "White party" kama zari wa diamond anavyoiitaga sherehe zake zote.

Iyanya leo anatimiza miaka 29.