Sunday, November 1, 2015

Jodie alieimba kuchi kuchi kuolewa kisirisiri

Baada ya ukimya wa mda mrefu ukimya ambao wengi waliona kama mwisho wa mziki wa mwanadada aliewahi kutamba na kibao cha kuchi kuchi.Zimesambaa picha za ndoa ya mwanadada huyo baada ya kuchumbiwa september mwaka huu na Muigizaji ambae pia inasemekana ni meneja wake David nnaji.

Jodie ambaye alishawahi kuulizwa kwenye interview ya radio kuhusu mahusiano na mtu huyo alikataa na kudai kwamba yeye ni bikra.