Monday, December 14, 2015

Video : Bounako ft Lord Eyez - Bado Tunapeta | Official Video

Waarusha,Kiarusha Uarushani... Ivyoo yani..
Bounako(jembe la kaskazini) akimshirikisha Lord Eyez (Mweuciiii) kwenye hii track iliyofanyika Noizmekah Studios (Arachuga) .. Video imefanywa na Mnene Hanscana na kwenye video wnaonekana wasanii kama Gentriez na Dippervato.