Thursday, October 29, 2015

Christian Bella na Alikiba kufanya video yao south afrika

Msanii aliyewahi kuwa wa bendi Christian bella na mwanamziki Alikiba wa chekecha cheketua juzi kati walifanya nyimbo kwa pamoja na kuipa jina la Nagharamia.Baada ya kufanya hivyo wasanii hao wamepaa na kwenda kufanya video hiyo south afrika.



Picha za wasanii hawa zinaonesha wazi kwamba wamekwisha maliza kushoot video yao hiyo. Japo director hatujajua ni nani bado.