Barnaba alisema kupitia ukurasa wake wa instagram
“Na Izi ni Sekunde Kama 10 Za kusikiliza Kipande Kidogo Cha #Nakutunza and Muziki ni Kama Chakula au maji Najua wengi Mnakiu Mwaweza Kunywa maji Kidogo …..InspirationVoice. / Demo… Loading……..5/November Jesus Is my Power aleluya!!”

