Friday, November 20, 2015

Picha:Dbanj alipotembelea jumba la kifahari la rapper Cassper nyovest

Baada ya kuvunja record kwenye show ya "fill the dome" alipojaza mashabiki 20,000 hit maker wa Doc-shebeleza Cassper nyovest alikuja zanzibar na mke wake kupumzika na kula starehe na safari hii amepost picha hizi akiwa na mkali Dbanj na kusema kwamba ni ndanin y anyumba lake la kifahari.baada ya dbanj ambaye yupo marekani kumtembelea.

Msouth africa huyo pengine anazidi kuingiza pesa kuliko ukubwa wa jina lake kwani inasemekana idadi ya mashabiki wake sio kawaida.