Vanessa amepost kupitia ukurasa wake wa instagram picha yake yeye na Hit maker huyo ambae pia ni prodyuza so pengine vanessa kwa mara ya kwanza atafanya track nje ya studio za the industry,Kwani toka aanze kufanya kwa nahreel ajawahi kuacha.
Vmoney aliandika haya
“wait for it … @teknoofficial #Alhaji #MoneyOnTheTrack”
Pia hit maker na producer huyo(Tekno) hakuwa nyuma aliandika haya
“Get ready #Vee&Tek cc @vanessamdee”

